Friday 1 August 2014

Picha hizi za Wema Sepetu na Martin Kadinda zina make headline kutizamwa kwenye mitandao 

Wema Sepetu na Martin Kadinda wamekuwa karibu sana hasa ukizingatia kuwa Kadinda amekuwa manager wa Wema kwa muda mrefu.Hizi ni picha alizo share Wema siku za nyuma ila hadi leo zimekuwa zina make headline kwenye mtandao wa Instagram.

  

Baada ya Wema kueleza alivyo m-miss, Hizi ndizo picha alizo share Ommy Dimpoz akiwa na Wema 

Siku tano zilizo pita kupitia mtandao wa Instagram, Mwigizaji wa filamu hapa Tanzania, Wema Sepetu aliandika kuwa ame mmiss msanii wa nyimbo za bongo fleava Ommy Dimpoz.
Huyu binadamu jamani tokea nimuone kwenye Mtv Awards sijamuona mpaka leo... Kiukweli nimemmiss saaaaana.... Mpuuzi wangu mwenyewe... Miss u shem lake... @ommydimpoz @ommydimpoz @ommydimpoz @ommydimpoz @ommydimpoz @ommydimpoz

Haya ndiyo majibu ya Ommy Dimpoz ambapo ame share picha wakiwa pamoja na Wema Sepetu.