Wednesday 7 May 2014

Airtel yazindua duka la kisasa Mlimani City

      
pic 1a
Afisa mtendaji Mkuu Airtel Africa Christophe Soulet akikata utepe kuzindua
duka la  Airtel  lililopo mlimani city  jijini Dar es Saalam.wakishuhidia,
wapili ni Andre Beyers Afisa mkuu wa masoko Airtel Afrika akiwa na meneja
wa duka Wahida Saleh na Sunil Colaso Mkurugenzi Mkuu Airtel Tanzania
pic 1b
Afisa mtendaji Mkuu Airtel Africa Christophe Soulet akikata utepe kuzindua
duka la  Airtel  lililopo mlimani city  jijini Dar es Saalam.wakishuhidia,
wapili ni Andre Beyers Afisa mkuu wa masoko Airtel Afrika akiwa na meneja
wa duka Wahida Saleh na Adriana Lyamba Mkurugenzi wa kitengo cha huduma kwa
wateja Airtel Tanzaania
pic 5b
Afisa mtendaji Mkuu Airtel Africa Christophe Soulet na  Afisa mkuu wa
masoko Airtel Afrika Andre Beyers wakiwa katika picha ya pmaoja na
wafanyakazi wa Airtel katika duka la mlimani City mara baada ya uzinduzi wa
duka hilo baada ya kufanyiwa matengenezo na kuwa la kisasa zaidi
pict 5
pic 10

No comments:

Post a Comment