KATIBU MKUU WIZARA YA ULINZI AWASILI MKOANI RUKWA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU, AAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA VITEULE VYA JESHI VYA KIRANDO NA KASANGA MKOANI RUKWA
Katibu
Mkuu wa Wiazara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Ndugu Job Masima
akishuka kwenye ndege aina ya Auric Air katika uwanja wa ndege wa
Sumbawanga mapema jana kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani
Rukwa kufuatia mwaliko wa Mkuu wa Mkoa huo Injinia Stella
Manyanya.

Mkuu
wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya kulia akimtambulisha Katibu
Tawala Mkoa wa Rukwa Ndugu Symthies Pangisa kwa Katibu Mkuu Wizara ya
Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Ndugu Job Masima mara baada ya kuwasili
katika uwanja wa ndege wa Sumbawanga jana.

Katibu
Mkuu wa Wiazara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Ndugu Job Masima
kulia akisalimiana na mwanasiasa Mkongwe nchini Ndugu Chrissant
Mzindakaya katika uwanja wa ndege wa Sumbawanga, Kulia ni Mkuu wa Mkoa
wa Rukwa Injinia Stella Manyanya.
No comments:
Post a Comment