MAKAMU WA CCM BARA MH.PHILIP MANGULA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO BEIJING CHINA
Makamu wa ccm bara MH.Philip Mangula
akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watanzania wanaosoma na
kufanya kazi nchini China katika mji wa Beijing baada ya kukutana nao
kwa kikao kifupi katika kujadili mstakabali wa wasomi katika ujenzi wa
taifa lao.Hii ilifanyika baada ya ziara fupi nchini aliyofanya
MH,Mangula mwanzoni wa wiki hii.
No comments:
Post a Comment