BUNGE MAALUM LA KATIBA LAAHIRISHWA KUTOKANA NA VURUGU
Mwenyekiti
wa Muda wa Bunge la Katiba Mh. Pandu Kificho ameahirisha Semina ya
kujadili Kanuni za Bunge Maalum la Katika Kutokana na Vuruguru Kutokana
na Hali ya Kutokuelewana Kati ya Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mh Ole
Sendeka Kutoleana maneno na Mbunge Mwenzake wakati Mbunge Huyo alipohoji
kuhusu Kanuni hizo.
No comments:
Post a Comment