YALIYOJIRI KATIKA PICHA KWENYE BUNGE MAALUMU LA KATIBA
Mbunge
wa Mtera, Livingstone Lusinde na mbunge wa Moshi mjini Mhe. Philemon
Ndesamburo ambao pia ni wabunge wa bunge maalumu la katiba wakiagana
mara baada ya kuahirishwa kwa semina ya kuandaa kanuni zitakazo tumiwa
wakati wa kikao cha bunge maalumu la katiba mjini Dodoma.
Mhe. Ole Sendeka akichangia mswada wa kanuni zitakazo tumika wakati wa kikao cha bunge maalumu la katiba jana jioni.
Mhe.
James Mapalala akiwelekeza jambo mjumbe mwenzake kwa kidole wakati wa
semina ya kujadili rasimu ya kanuni zitakazo tumika wakati wa kikao
cha bunge maalumu la katiba. Picha na Deusdedit Moshi
No comments:
Post a Comment